WIC Newsletters

Reports and Policies

Dec
2011
Reports | Background
The United Nations Secretary-General's (UNSG) World Report on Violence against Children (VAC), commissioned in 2001 and completed in 2006, was the first and most comprehensive global study on all forms of violence against children. The aim of the study was to research, report, and make recommendations on violence against children in the multiple settings where children live and survive—including…

Nov
2011
Reports | Vitendo vya ukatili dhidi ya watoto ni suala zito la haki za binadamu, jamii na afya ya jamii nchini Tanzania kama ilivyo katika nchi nyingi duniani. Vitendo hivi vinamomonyoa msingi imara ambao watoto wanahitaji ili wawe na afya bora na maisha yenye tija, na vinasigana na haki ya msingi ya watoto ya kuishi salama utotoni. Tatizo la ukatili wa kijinsia, ....

Nov
2011
Reports | Kikosi Kazi Kinachojumuisha Sekta Mbalimbali: Mpango wa Taifa wa Kukabiliana na Ukatili Dhidi ya Watoto

Ripoti ya Dunia ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Ukatili dhidi ya Watoto ambayo ilifanyika kuanzia mwaka 2001 na kukamilika mwaka 2006, ilikuwa ndiyo utafiti wa kwanza na wa kina wa dunia juu ya aina zote za ukatili dhidi ya watoto. Madhumuni ya utafiti huu yalikuwa ni kuchunguza,…

Nov
2011
Reports | Utafiti wa Ukatili Dhidi ya Watoto Tanzania na Mpango wa Kitaifa wa Kudhibiti
Usuli: Baada ya kuchapishwa kwa Ripoti ya Dunia ya Ukatili Dhidi ya Watoto ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa iliyotolewa mwaka 2006, pendekezo maalumu lilitolewa la kutayarisha na kutekeleza ukusanyaji wa data na kufanya utafi ti wa ukatili dhidi ya watoto katika ngazi ya taifa.

Nov
2011
Policies | An Act to provide for reform and consolidation of laws relating to children, to stipulate rights of the child and to promote, protect and maintain the welfare of a child with a view to giving effect to international and regional conventions on the rights of the child; to provide for affiliation, foster care, adoption and custody of the child; to further regulate employment and apprenticeship; to make…

Oct
2011
| Siku hizi zitatumiwa na Wizara kujenga uelewa wa pamoja kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu maendeleo ya jamii yetu. Hii ni pamoja na kukumbushana tulikotoka, tulipo na tunapoelekea katika muktadha wa Maendeleo ya Jamii, jinsia, watoto na Mashirika Yasiyo ya Kiserikali tangu tulipopata uhuru tarehe 9 Desemba, 1961 hadi kipindi hiki muhimu ambapo tunasheherekea miaka 50 ya Uhuru.

Tarehe…

Aug
2011
Publications | Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto inatangaza majina ya walioteuliwa kujiunga na masomo ya taaluma ya Maendeleo ya Jamii ngazi ya Stashahada na Cheti cha Awali kwa mwaka wa masomo 2011/2012.
Attachment: selection_list.pdf

May
2011
Publications | Nazneen, K. (2003) “Mind the Gap: Mainstreaming Gender and Participation in Development”.
In Phimbert, M (ed) Institutionalizing Participation Series.
Russell Press. Brighton BN1 9RE, United Kingdom
ISBN 1 84369 466 2.

Abstract
This paper draws a lesson of gender mainstreaming work for those who seek to institutionalize participation. The author begins…

May
2011
Publications | Kraus-Harper, U. and Halper, M. (1992).
Getting Down to Business: A manual for Training Business Women
SRO, Exeter. 103/105 Southampton Row, London WC1B 4HH, UK.
ISBN 1 85339 113 1

Abstract
This book is designed for anyone who is responsible for designing, managing or actually conducting business training for women. It provides detailed guidelines for…

May
2011
Publications | Myers, J. (2008). “Keeping Children Safe; Training for Child Protection”.
Keeping Children Safe Coalition.
Save the Children UK. Tool 3.
ISBN 978-1-84228-085-0.

Abstract
A document pack flexible training exercises and materials to help individual and organization to train the staff to meet the standards for child protection.
It contains programs…

Page 1 of 9 pages  1 2 3 >  Last »